Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu Podcast
1) 02 FEBRUARI 2026
Chukua hatua za kupunguza hatari ya kupata ugonjwa wa saratani.Sudan Kusini iko nijia panda na wananchi wanalitambua hilo: UNMISS.UNCDF: Uwekezaji bunifu wasaidia wakulima Dodoma, Tanzania
2) Hali ya njaa inatishia maisha ya watoto nchini Sudan
Sudan inakabiliana na viwango vya hatari vya njaa, ambapo mamilioni ya watoto kama Noon wako katika hatari kubwa. Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto (UNICEF) liko shambani, liki...Show More
3) Waliofurushwa na mafuriko Msumbiji sasa wafikia 400,000- UNHCR
Idadi ya watu waliofurushwa makwao nchini Msumbiji kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizoanza kunyesha katikati ya mwezi uliopita wa Desemba inakaribia 400,000 hali inayoongeza hat...Show More
4) 30 JANUARI 2026
Hii leo jaridani tunaangazia mafuriko nchini Msumbiji yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizoanza kunyesha katikati ya mwezi uliopita, hali ya kibinadamu kwa watoto Sudan na migogoro na uhakika wa chaku...Show More
5) Taarifa potofu nchini Sudan Kusini moja ya vitisho vya utekelezaji mkataba wa amani
Makubaliano ya amani nchini Sudan Kusini yanakabiliwa na vitisho na hivyo wadau lazima husika wautekeleze licha ya changamoto zilizoko, amesema Luteni Jenerali Mohan Subramanian ambaye ni Kamanda Mkuu...Show More
6) Jifunze Kiswahili: Maana ya "SIKU ZA JANGUO"
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo ukumbi ni wake mlumbi wa lugha ya Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya "SIKU ZA JANGUO."
7) 29 JANUARI 2026
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Jamhuri Africa ya Kati CAR kusikia mama mkimbizi anayesimulia aliyoyapitia, maisha ya uhamishoni na alivyojipatia nguvu iliyo kuu kuliko...Show More
8) Idadi ya wanaopatiwa msaada DRC yapunguzwa kutokana na ukata
Kutokana na ufinyu wa ufadhili unaolazimisha Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada ya kibinadamu, OCHA kupunguza idadi ya wanaopatiwa misaada nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, DRC, serikali ya...Show More
9) IOM, Marekani na wadau washirikiana kukabili uhalifu Ziwa Viktoria
Ziwa Viktoria barani Afrika, licha ya kuwa mhimili muhimu wa maisha kwa zaidi ya watu milioni 40 nchini Kenya, Uganda na Tanzania, bado linakabiliwa na vitisho vihusianavyo na biashara haramu za magen...Show More
10) 28 JANUARI 2026
Hii leo jaridani tunaangazia….mafunzo ya usalama katika Ziwa Victoria, na harakati za Shirika la kiraia la kusongesha elimu kwa watoto wa kike, CAMFED za kuwawezesha wanafunzi wa kike nchini Tanzania....Show More